Skip to main content

UINGEREZA YAMLILIA MWANAMFALME PHILIP

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A"





 

Mwanamfalme Philip akiwa na mkewe Malkia Elizabeth II wakati wa uhai uhai wake.


MWANAMFALME Philip ambaye pia ni mume wa Malkia Elizabeth II amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kasri ya Buckingham kwa niaba ya Malkia imeelezwa  kuwa, "Kwa masikitiko Malkia anatangaza  kifo cha mumewe kipenzi,  Mwanamfalme Philip mtawala wa Edinburgh aliyefariki dunia kwa amani leo asubuhi Katika kasri ya Windsor Castle."

Mwanamfalme Philip alimuoa binti mfalme Elizabeth mwaka 1947 kabla ya kuwa Malkia miaka mitano baadaye na kuwa Malkia aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi nchini Uingereza.

Mwanamfalme Philip alipata heshima kutoka kwa watu wengi kutokana na kujitolea na kumuunga mkono mkewe Malkia Elizabeth II katika kazi zake, na malkia alipenda  kumwelezea mumewe kwa maneno mawili ya  'Strength and Stay.'

Viongozi mbalimbali wametuma salamu za rambirambi kwa familia huku Waziri mkuu wa Taifa hilo Boris Johson akimwelezea Mwanamfalme Philip kuwa ni jasiri aliyeongoza familia ya kifalme na ufalme kwa upendo wa hali ya juu.

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

Mkuu wa Majeshi asimulia neno la mwisho kuambiwa na JPM ‘sijisikii vizuri” (+video)

SHARE TWEET SHARE SHARE COMMENTS Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ataitwa pia Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania na sio Amirat kama ambavyo ilipendekezwa. “Nashukuru Baraza la Kiswahili limerekebisha uendelee kuitwa Amiri Jeshi Mkuu na sio Amirat kama ilivyokuwa inapendekezwa”  Mabeyo Mabeyo ametoa kauli hiyo kwenye Uwanja wa Magufuli Chato leo wakati akitoa salamu kwenye Misa Takatifu ya Mazishi ya Hayati Dr.John Pombe Magufuli. RELATED ITEMS TZA HABARI SHARE TWEET SHARE SHARE COMME

Sala kwa Mama Bikira Maria

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Sala kwa Mama Bikira Maria. Salamu, Maria, umejaa Neema Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na sasa ya kufa kwetu, Amina. Utuombee kwa mwanao Yesu Kristo. #SalamuMaria #SalaniSilaha