Skip to main content

Haya Ndiyo Madhara ya Kufanya Mapenzi na Mwanamke aliyopo kwenye Hedhi

*lackstar tours and safaris.*
Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana. Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi.

Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}.

 MADHARA KWA MWANAUME.

  1. Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.
  2. Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.
  3. Kuziba kwa njia ya mkojo.
  4. Utasa au ugumba.
  5. Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.
  6. Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

MADHARA KWA MWANAMKE.

  1. Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.
  2. Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).
  3. Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.
  4. Utasa au Ugumba.
  5. Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.
  6. Athari mbaya ya kisaikolojia:Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka KU-DO.

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

8 Things You Should NEVER Say In A Relationship, Unless You Want To Break Up

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Words are a powerful instrument that can either lift you up or bring you down in a matter of seconds. Naturally, we are open to our partners and everything they have to say. Likewise, our loved ones are most sensitive to our remarks, comments, criticism, and other modes of communication that are less pleasant. Being in a relationship, you really need to filter what you say and how you say it as the damage caused by a few simple phrases can often be irreversible, causing problems for years to come. Here are 8 things you should never say in a relationship, unless you want to break up. ‘ You Don’t Know Anything’ This phrase might have been harmless for Jon Snow, but for us non-fictional beings those words sting like a bee. Even if you’re arguing, this phrase doesn’t do anything good – it just diminishes your partner’s intelligence and cripples his self-worth. If you feel that your partner doesn’t quite understand the issue, it’s best t...

SALA KWA MAMA MARIA

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina.. #MotherMary #Subscribe #Like #Comment #Share