Skip to main content

Steve Nyerere amuomba Waziri kuingilia kati changamoto ya bando

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A"


Msanii wa filamu Steve Nyerere amemuomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Faustine Ndugulile kuingilia kati na kutoa japo neno moja kuhusu changamoto iliyokuwepo kwenye mitandao ya simu hasa upande wa vifurushi.

Kupitia ujumbe wa Steve Nyerere aliomuandikia Waziri huyo kupitia mtandao wa Instagram unaeleza kuwa 

"Mhe Waziri nakuomba sema neno 1 tu kwenye suala la bando na vifurushi, hili ni janga na msiba wa wanyonge wanalia kila kona, najua unajua kwani Serikali haijawahi kushindwa kitu kwa kusimama na wananchi wao, ipo tija ya haraka sana kukaa kikao na haya makampuni" 

"Pasaka hii inatufika tukiwa hoi na bando tu mengine yote Bye, Mhe Waziri ni kilio cha wapiga kura wetu lakini tusisahau sasa hivi dunia imebadilika kila jambo lipo kwenye simu na taarifa zote mitandaoni sasa kwa bando, hili tunahitaji huruma yako mzee mwenzangu embu simama sema na Watanzania kuhusu bando, nakuamini sana" ameongeza Steve Nyerere 

Siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la gharama na upinguzwaji wa aina ya vifurushi kwa makampuni ya mitandao ya simu hali ambayo inaleta shida kwa watumiaji hapa nchini.

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

8 Things You Should NEVER Say In A Relationship, Unless You Want To Break Up

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Words are a powerful instrument that can either lift you up or bring you down in a matter of seconds. Naturally, we are open to our partners and everything they have to say. Likewise, our loved ones are most sensitive to our remarks, comments, criticism, and other modes of communication that are less pleasant. Being in a relationship, you really need to filter what you say and how you say it as the damage caused by a few simple phrases can often be irreversible, causing problems for years to come. Here are 8 things you should never say in a relationship, unless you want to break up. ‘ You Don’t Know Anything’ This phrase might have been harmless for Jon Snow, but for us non-fictional beings those words sting like a bee. Even if you’re arguing, this phrase doesn’t do anything good – it just diminishes your partner’s intelligence and cripples his self-worth. If you feel that your partner doesn’t quite understand the issue, it’s best t...

SALA KWA MAMA MARIA

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina.. #MotherMary #Subscribe #Like #Comment #Share