Skip to main content

Kigwangalla: Nitashtaki kwa Mungu

*lackstar tours and safaris.*



Baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kubainisha matumizi mabaya ya fedha za umma ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii iliyokuwa inaongozwa na Dk Hamisi Kigwangalla, ameibuka kwenye mtandao wa kijamii na kuandika, “nitashtaki kwa Mungu, Wallahi!”

Kigwangalla alikuwa waziri katika wizara hiyo kuanzia Oktoba 7, 2017 hadi Novemba 2020 na Rais wa tano, Hayati John Magufuli hakumrudisha katika baraza lake la mawaziri.

 Akiwa Waziri, Kigwangalla alianzisha tamasha la urithi pamoja na shindano la kupanda Mlima Kilimanjaro, lengo likiwa ni kuhamasisha utalii nchini sambamba na watu kupanda mlima huo mrefu Afrika.

CAG katika ripoti hiyo ameeleza kuwa shindano hilo lilitumia Sh172 milioni zilizotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kiasi cha Sh114 milioni na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) na kiasi cha Sh57 milioni zilizotolewa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS). Alisema fedha hizo hazikuwa kwenye bajeti zao za mwaka wa fedha.

Katika majibu yake kuhusu kutajwa kwake huko kwenye ukurasa wa mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Kigwangalla amesema, “nitashtaki kwa Mungu, Wallahi!”

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

NJIA YA MSALABA

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Tufwate njia ya msalaba, . Tuifuwate, mpaka Kalvario. Tusimamepo, bila haya. Msalaba, Msalaba uponya roho. Sala mbele ya Altare. Ee Mkombozi wangu, ninakuja Leo kufuata njia ile uliyoshika siku ya kufa sadaka yetu. Nimetubu dhambi zangu zote; ninataka kugeuza mwendo wangu, ninaomba kwako niwapatie roho za waumini marehemu waliomo toharani, rehema zote zilozotolewa na kanisa kwa Njia ya Msalaba. Nawe Maria Bikira Mtakatifu, uliyefuata njia ile nyuma ya mwanao Yesu, uniangalie kwa wema, unitie moyo mkuu, nisipende dhambi tena, nikivumilia kàzi na usumbufu na mateso na matukio yatakayonipata. Umekosa nini we Yesu, Kushitakiwa bure kwa Pilato, Wenye kustahili hukumu, Si wewe, si wewe Bwana ni sisi. KITUO CHA KWANZA. Yesu anahukumiwa afe. -Ee Yesu tunakuabudu, tunakushukuru. -Kwa kuwa umewakomboa watu kwa msalaba wako mtakatifu. Pilato anamhukumu Yesu ingawa haoni kosa lake, anawaogopa Wayahudi. Anabembeleza urafiki wa Kaysari. Ee Yesu ...

Mkuu wa Majeshi asimulia neno la mwisho kuambiwa na JPM ‘sijisikii vizuri” (+video)

SHARE TWEET SHARE SHARE COMMENTS Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ataitwa pia Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania na sio Amirat kama ambavyo ilipendekezwa. “Nashukuru Baraza la Kiswahili limerekebisha uendelee kuitwa Amiri Jeshi Mkuu na sio Amirat kama ilivyokuwa inapendekezwa”  Mabeyo Mabeyo ametoa kauli hiyo kwenye Uwanja wa Magufuli Chato leo wakati akitoa salamu kwenye Misa Takatifu ya Mazishi ya Hayati Dr.John Pombe Magufuli. RELATED ITEMS TZA HABARI SHARE TWEET SHARE SHARE COMME