Skip to main content

WACHEZAJI WA KMC FC WAREJEA KAMBINI, KUANZA MAZOEZI KESHO

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A"

KIKOSI cha KMC FC kimewasili kambini tayari kwa kuanza maandalizi ya michezo ya ligi kuu Soka Tanzania bara pamoja na michuano ya kombe la Shirikisho ikiwa ni baada ya kuwepo kwenye mapumziko mafupi ya kupisha michezo ya kirafiki ya kimataifa pamoja na mchezo wa kufuzu Afcon dhidi ya Libya.

Kikosi hicho cha wana Kino Boys kimewasili jana jioni na kwamba kesho kitaanza kufanya mazoezi rasmi ili kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu Soka Tanzania Bara pamoja na michezo ya kombe la Shirikisho ASFC.

Itakumbukwa kuwa KMC ilikuwa kwenye mapumziko kuanzia Machi 11 ambapo uongozi ulitoa siku nane na kwamba wachezaji walipaswa kurejea kambini machi 20 na kwamba kutokana na kuwepo kwa msiba wa kitaifa wa hayati Dk. John Joseph Pombe Magufuli tuliongeza siku za mapumziko hadi pale tulipo mpumzisha kiongozi wetu Machi 26 na hivyo Timu kurejea jana.

KMC FC hadi sasa ipo katika nafasi ya tano ya msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara ikiwa na alama 35 ambapo katika mchezo wake wa mwisho kabla ya kwenda kwenye mapumziko mafupi ilikutana na Ruvu Shooting katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam na kuibuka na ushindi wa goli moja kwa sifuri.

Imtolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya KMC

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

8 Things You Should NEVER Say In A Relationship, Unless You Want To Break Up

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Words are a powerful instrument that can either lift you up or bring you down in a matter of seconds. Naturally, we are open to our partners and everything they have to say. Likewise, our loved ones are most sensitive to our remarks, comments, criticism, and other modes of communication that are less pleasant. Being in a relationship, you really need to filter what you say and how you say it as the damage caused by a few simple phrases can often be irreversible, causing problems for years to come. Here are 8 things you should never say in a relationship, unless you want to break up. ‘ You Don’t Know Anything’ This phrase might have been harmless for Jon Snow, but for us non-fictional beings those words sting like a bee. Even if you’re arguing, this phrase doesn’t do anything good – it just diminishes your partner’s intelligence and cripples his self-worth. If you feel that your partner doesn’t quite understand the issue, it’s best t...

SALA KWA MAMA MARIA

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina.. #MotherMary #Subscribe #Like #Comment #Share