Skip to main content

#Tambua: Majiji 30 Hatari Duniani

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A"

 
Kama ulikuwa na mpango wa kutafuta jiji ambalo ungependa kwenda kutembea wakati fulani hivi katika maisha yako, basi hapa nakuwekea majiji hatari zaidi duniani yanayoongoza kwà uhalifu ili utakapokwenda kwenye moja ya majiji haya ujue upo kwenye jiji hatari duniani.

Duniani majiji mengi yana uhalifu kutokana na idadi kubwa ya watu na hali ya maisha inayowapelekea watu wakijikuta wakifanya uhalifu.

Takwimu hizi zinatoka kila mwaka kutegemea na hali ya kuongezeka kwà uhalifu au kupungua ndio hupelekea jiji kupanda au kushuka katika list ya majiji hatari kwà uhalifu duniani.

1. Caracas , Venezuela

2. Port Moresby , Papua New Guine

3. Pretoria, South Africa.

4. Durban, South Africa.

5. Johannesburg, South Africa.

6. San Pedro Sula, Honduras.

7. Pietermaritzburg, South Africa

8. Natal, Brazil.

9. Fortaleza, Brazil

10. Rio de Janeiro, Brazil.

11. Recife, Brazil

12. Kabul, Afghanistan 

13. Salvador, Brazil

14. Port Elizabeth, South Africa.

15. Porto Alegree, Brazil

16. Port of Spain, Trinidad and Tobago.

17. Memphis, TN, United States 

18. Baltimore, MD, United States

19. Cape Town, South Africa

20. Detroit, MI, United States

21. San Salvador, El Salvador

22. Sao Paulo, Brazil

23. Saint Louis, MO, United States

24. Kingston, Jamaica.

25. Albuquerque, NM, United States

26. Lima, Peru

27. Windhoek, Namibia

28. Mexico city, Mexico.

29. San Juan, Puerto Rico.

30. Milwaukee, WI, United States.

Dar es salaam, Tanzania ni jiji la 66 kati ya majiji yote 431 kutoka kwenye list hii inayoonyesha majiji yanayoongoza kwà uhalifu.

Comments

Popular posts from this blog

8 Most Beautiful Brazilian Actresses

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Na Yohanec Chang'a- Iringa Brazilian women are like the sun: bright, positive, and so dang hot. It’s especially evident when you look at the models, actresses, and other juicy celebs. These women have used their immense sexuality and became the standard of beauty for men around the world. Here are the eight most beautiful Brazilian actresses. 1. Vivianne Pasmanter Vivianne’s parents dreamed that their daughter would do ballet professionally, but the girl did not like that idea and instead wished to become an actress. And she did it. Now Pasmanter can, without exaggeration, be called one of the most famous actresses on Brazilian TV series such as “Nuovo Mundo” and “Alén, Luz de Luna.” 2. Christine Fernandes Although Christine was born in Chicago, Illinois, the future actress returned to her parents’ historical homeland in Brazil at the age of three. She came to the film industry from the modeling business and almost immediately s...

NJIA YA MSALABA

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" Tufwate njia ya msalaba, . Tuifuwate, mpaka Kalvario. Tusimamepo, bila haya. Msalaba, Msalaba uponya roho. Sala mbele ya Altare. Ee Mkombozi wangu, ninakuja Leo kufuata njia ile uliyoshika siku ya kufa sadaka yetu. Nimetubu dhambi zangu zote; ninataka kugeuza mwendo wangu, ninaomba kwako niwapatie roho za waumini marehemu waliomo toharani, rehema zote zilozotolewa na kanisa kwa Njia ya Msalaba. Nawe Maria Bikira Mtakatifu, uliyefuata njia ile nyuma ya mwanao Yesu, uniangalie kwa wema, unitie moyo mkuu, nisipende dhambi tena, nikivumilia kàzi na usumbufu na mateso na matukio yatakayonipata. Umekosa nini we Yesu, Kushitakiwa bure kwa Pilato, Wenye kustahili hukumu, Si wewe, si wewe Bwana ni sisi. KITUO CHA KWANZA. Yesu anahukumiwa afe. -Ee Yesu tunakuabudu, tunakushukuru. -Kwa kuwa umewakomboa watu kwa msalaba wako mtakatifu. Pilato anamhukumu Yesu ingawa haoni kosa lake, anawaogopa Wayahudi. Anabembeleza urafiki wa Kaysari. Ee Yesu ...

PETER MSECHU NATAKA NIONGEE NA WEWE KAKA KUHUSU TUNGO ZAKO KWA HAYATI MAGUFULI

#subscribe on youtube "YOHANEC CHANG'A" WAKATI bado tunaomboleza msiba mzito wa Taifa wa kuondokewa na Mpendwa wetu, Aliyekuwa Rais wa Taifa letu la Tanzania, Mpenda Amani, Mpenda watu wake hususani wale wenye hadhi ya chini na kipato kidogo, Mpenda Maendeleo, Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Kaka Peter Msechu naomba niongee na wewe kitu katika Tasnia yako ya Muziki... Kiukweli baada ya kutangazwa Kifo cha Hayati Dkt. Magufuli Machi 17, 2021 na Aliyekuwa Makamu wa Rais kipindi hicho, Mama Samia Suluhu Hassan, Wasanii wengi nchini walijitokeza kutunga tungo (Nyimbo) mbalimbali kumuenzi Mpendwa wetu aliyetangulia mbele ya haki. Tumeona tungo nyingi zilizojaa wasifu wakumuenzi Hayati Dkt Magufuli, tungo hizo kutoka kwa Wasanii hao wa Tanzania na Vikundi mbalimbali vya Muziki ziliwavutia watu wengi kutokana na kubeba ujumbe wa kweli kwa Taifa letu. Tumeona vikundi kama Tanzania One Theatre (TOT), Vikundi kutoka Makanisa mbalimbali nchini na Wasanii wa Muziki wa kizazi ...